Search found 42 matches
- Sun Apr 29, 2007 5:21 pm
- Forum: Swahili
- Topic: FreeStyLe !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
- Replies: 14
- Views: 5981
FreeStyLe !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
popote napita kwenye game nakita nikiwacheki majita naona wengi wananiita nasonga nao kilomita kumfuata barbarita ghafla roho inasita na moyo nao unatita naona kama ni vita vya tatu vya dunia,wanaokunywa damu hawana tofauti na bia,wanasifia utamu huku roho zao zinalia,naposema mwanadamu ni pamoja na...
- Sat Apr 28, 2007 7:42 pm
- Forum: Swahili
- Topic: SITA WALISHA SUMU NIPATE KUWAHUKUMU
- Replies: 9
- Views: 8000
SITA WALISHA SUMU NIPATE KUWAHUKUMU
unaninyooshea kidole vitatu vinakutazama
kama inakuuma hukumu ki uhasama
ukiniona unanuna unatamani kuniua sana
utaki kunipa hey unabaki tu kuuchuna
pua yangu ilipo inaangalia chini
nipo tayari kufa ila sijui ni lini
kama inakuuma hukumu ki uhasama
ukiniona unanuna unatamani kuniua sana
utaki kunipa hey unabaki tu kuuchuna
pua yangu ilipo inaangalia chini
nipo tayari kufa ila sijui ni lini
- Sat Apr 28, 2007 7:24 pm
- Forum: Swahili
- Topic: [b]TZII HIPHOP KING?[/b]
- Replies: 34
- Views: 11777
[b]TZII HIPHOP KING?[/b]
Ni kweli johmakini hastahili kuitwa king kwani hakuna jipya halolifanya kwenye game.Atabaki kama hiphop artist kiupande wa mashairi hana tofauti sana na Solo,zaharan au saigon wa zamani kwani saigon wa sasa kaisha.Ingawa hawezi kumfikia hashim dogo mi naamini bado ananafasi kama anahitaji kuitwa kin...
- Sat Apr 28, 2007 7:01 pm
- Forum: Swahili
- Topic: FreeStyLe !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
- Replies: 14
- Views: 5981
FreeStyLe !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
ni vigumu kuamini,ukweli unabaki akilini
mnajijua hajijui,mi ndo jibu hanijui
kama nabii nakuja kama chocheo
okoleo kwa mafukara wenye vyeo
huzuni bado akitanda
msikitini makanisani wakisubiri parapanda
mnajijua hajijui,mi ndo jibu hanijui
kama nabii nakuja kama chocheo
okoleo kwa mafukara wenye vyeo
huzuni bado akitanda
msikitini makanisani wakisubiri parapanda
intro
naona dogo mkia umekufyata wenzio wananijua kiasi gani nilivyodata basi twende kimya kimya naona umekuwa mdogo ila usipojichunga nitakuja zaidi ya mbogo tena nitakuja kama tumbo lenye njaa lililokosa masikio na ndani yake ni kilio mi ndo shujaa niliyesahaulika a.k.a nyota mpweke ni sawa na fuko la h...
intro
naona dogo mkia umekufyata wenzio wananijua kiasi gani nilivyodata basi twende kimya kimya naona umekuwa mdogo ila usipojichunga nitakuja zaidi ya mbogo tena nitakuja kama tumbo lenye njaa lililokosa masikio na ndani yake ni kilio mi ndo shujaa niliyesahaulika a.k.a nyota mpweke ni sawa na fuko la h...
intro
naona dogo mkia umekufyata wenzio wananijua kiasi gani nilivyodata basi twende kimya kimya naona umekuwa mdogo ila usipojichunga nitakuja zaidi ya mbogo tena nitakuja kama tumbo lenye njaa lililokosa masikio na ndani yake ni kilio mi ndo shujaa niliyesahaulika a.k.a nyota mpweke ni sawa na fuko la h...
intro
ujio wangu
ni kama pain killer
ni kama vichwa ngumu
wanavyo mrespect hila
au masai pound na rap zao za kimila
aliyesema leo kwa heri
kesho huambiwa karibu
unanusa nusa ka mbwa
kwangu usijaribu
hili ni kama onyo
kwa ufupi nitakwaribu
ni kama pain killer
ni kama vichwa ngumu
wanavyo mrespect hila
au masai pound na rap zao za kimila
aliyesema leo kwa heri
kesho huambiwa karibu
unanusa nusa ka mbwa
kwangu usijaribu
hili ni kama onyo
kwa ufupi nitakwaribu
intro
from last episode toka kwa fanani na inakwenda kwa adhira maproducer wananitamani mi nawakana kwa hasira wanakiri kipaji changu daima hihop ndo ajira nakuja kwako depressado na ku-kill huku nakufira kamuulize dada yako ananijua kama ndo dira anaponipa matako na namfira bila ya mpira sio kila jani uk...
intro
mchimba kisima sasa naingia mwenyewe duniani haijatokea kuku kukaa na mwewe napenda zaidi adui,adui ukawa ndo wewe unakula na kipofu,unamshika mkono umekosa cha kufanya,unakopa mademu ngono hujui unachokifanya,ndo maana papara na pupa kwa mgongo wachupa,eti unawapaka mafuta unachungulia kaburi depra...